Sugu Awataka Madiwani Wa Chadema Kufukuzana na ‘Kasi’ ya Magufuli

Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amewataka madiwani wa jimbo hilo waliochaguliwa kwa tiketi ya Chadem...

TRA Yakusanya Bilioni 5 za Kodi ya Makontena 329....Wafanyakazi 35 Wasimamishwa Kazi

BAADA ya Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa kufanya ziara ya kushitukiza katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kubaini upotevu wa Makon...

Hotuba Nzima ya Raisi Magufuli Alipokutana na Wafanya Biashara Ikulu Jana Iko hapa

Hotuba

TAZARA Yapokea Mabehewa 18 na Vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa China

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka (katikati) akikata utepe pamoja na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Ka...

Waziri Mkuu Avamia tena Bandarini...Akuta Makontena 2431 Yametoka Bila Kulipiwa Kodi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya ziara nyingine ya kushtukiza bandarini na kukagua mfumo wa upokeaji na utoaji mizigo na utozaji wa m...

Balozi Seif Ali Iddi Amtembelea Raisi Magufuli, Ikulu Jijini Dar es salaam

Raisi wajamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akifulahia jambo na makamu wa pili wa Raisi wa Serikali ya  Map...

Prof. Lipumba na wafuasi wake 30 Waachiwa Huru na Mahakama Ya Kisutu

PROF. Ibrahim Lipumba, aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), ameachiwa huru na mahakama ya Hakim Mkazi, jijini Dar es Salaa...

Gesi Inayozalishwa MADIMBA Mtwara Yatumika Chini ya Uzalishaji wake

Serikali imeshauriwa kuharakishakuongeza uzalishaji katika mitambo ya kuchakata na kusambaza gesi ya MADIMBA mkoani MTWARA ili wananchi...

Rais Dkt. Magufuli atoa siku saba kwa wafanyabiashara wakwepa kodi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Dkt.John  Pombe  Magufuli amewapa siku saba kuanzia tarehe 03/12/2015 wafanyabiashara wote ambao wa...

TRL walipewa bil 13 ila miundo mbinu haikujengwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipofanya ziara ya kushtukiza leo Shirika la reli, amezungumza na Mkurugenzi Mkuu TRL, Mhandisi Elias Msha...

Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mkuu wa Valencia

Beki wa zamani wa Manchester United na kocha wa kikosi cha kwanza cha timu ya taifa Wingereza, Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mku...

Taarifa Kwa Wananchi Wote Kuhusu Majina Sahihi Ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa (Pichani) anatumia majina matatu kama ifuatavyo: Kassim Majaliwa Majaliwa a...

Rais Magufuli Akutana na Mabolozi Wa China na Korea Kusini

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Balozi wa Korea hapa nchini  he. Chung IL , Ikulu jijini Dar es salaam leo Novemba 3...

Hapa Kazi Tu...JPM Aweka Rekodi ya Siku 25 bila Baraza la Mawaziri

Rais John Pombe Magufuli amekuwa wa kwanza tangu mfumo wa vyama vingi kuanza nchini kutumia muda mrefu kutangaza Baraza la Mawazi kutok...

Almasi Adimu Yagundulika Tanzania

KAMPUNI ya madini ya Petra Diamonds imegundua aina adimu ya almasi ya rangi ya pinki yenye uzito wa karati 23.16 kutoka mgodi wake wa Willi...

Tukio zima la Prof Lipumba Alivyotembelea Ikulu Leo na Kuzungumza na Raisi Magufuli liko hapa

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) Prof Ibrahim Lipumba amemtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John...

IKULU :Taarifa Kwa Vyombo vya Habari ...Raisi Magufuli Akutana na Prof. Lipumba

Taarifa Kwa Vyombo vya Habari

Taarifa SahiHi ya Mabunda ya Noti Kwenye Ndoo Inayozangaa Mtandaoni Hii Hapa

                                      kwa taarifa zaidi  Bofya Hapa

Taarifa ya Upotevu wa Makontena Azam ICD Toka SSB Group of Companies

Kumekua na taarifa zinazosamabazwa katika mitandao ya kijamii kuwa Kapuni ya Bakhresa inahusika na upotevu wa Makontena 349 yaliyolipo...

Mohamed Dewji Ashinda Tuzo ya Mtu wa Mwaka(Person of the Year) ...METL Yaongoza Kutoa Ajira Sekta Binafsi

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mohamed Enterprises, Mohamed Dewji amesema kampuni yake inaongoza sekta binafsi kwa kutoa ajira k...

index