BASATA : Shindano la Miss Tanzania Limefunguliwa

Shindano la Miss Tanzannia Lafunguliwa

Chelsea Majanga ,Arsenal Yashinda:Angalia wafungaji na picha za mechi hizo

Ligi kuu ya England imeendelea tena kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja vya Etihad na Selhurst Park. Olivier Giroud Akishagilia baada ...

SUGU, NATURE, PROFESSA J Kufanya Shoo ya Kuhamasisha kupiga Kura katika Uchaguzi 2015

Wasanii wa kizazi kipya waungana ili kuandaa onesho la kuhamasisha watanznia kujitokeza kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu baadae mwezi wa kum...

Mchoraji FEDE na Katuni zake zilizosheheni Ujumbe

FEDE ni nani nilijiuliza baada ya kukutana na  moja ya Katuni zake mtandaoni .FEDE ni sahihi ambayo anaitumia ndugu Nestory Fedeliko kwenye ...

Cristian Ronaldo atakua fiti kabla ya Ligi kuanza mwezi Ujao: Asema Rafael Benitez

Mchezaji huyo wa kimataifa hakuweza kuambatana na timu yake ya Real Madrid kushiriki kombe la Audi wiki hii Lakini kocha Rafael Benitez anaa...

Chelsea ya cheza pungufu ikilazimisha sare 2-2 dhidi ya Swansea

Chelsea ilishuhudia mchezaji wake Thibaut Courtois  akitolewa  nje kwa kadi nyekudu baada ya kumchezea faulo Gomis Oscar aliipatia Chelsea g...

Kyle Walker ajifunga akiipa Mancherster United ushindi mwembamba

Hakika ilikua ni meche ya kusisimua wakati mashetani wekundi wakijichukulia pointi tatu zao za kwanza dhidi ya Spurs kwa ushind wa 1-0 Manch...

Louis van Gaal : Huu utakua Msimu wa Luke Shaw

Luke shaw  beki wa mashetani wekundu Mancherster United atamalizia mfululizo wa mechi za maandalizi za msimu ujao wa ligi kuu England kwa ku...

Zijue klabu Maarufu zaid Afrika Katika Ligi Kuu England

Huku msimu mpya wa mwaka 2015-16 ukianza, majumba ya starehe na mikahawa kutoka Cape Town hadi Cairo itakuwa ikijiandaa kukidhi mahitaji ya ...

Ndikumana wa Uwoya kukipiga Stand United

Wakati kufungwa kwa dirisha la usajili kukipelekwa mbele, mchezaji wa kimataifa wa Burundi na aliyekua mume wa mcheza filamu maarufu wa Tanz...

Bale Atamani namba nyingine Real Madrid

Bale alicheza fowadi wa kati juzi Jumanne kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya timu yake ya zamani ya Tottenham Hotspur na kufunga bao katika m...

index