TAZARA Yapokea Mabehewa 18 na Vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa China
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka (katikati) akikata utepe pamoja na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Ka...
http://taarifayahabari360.blogspot.com/2015/12/tazara-yapokea-mabehewa-18-na-vichwa-4.html
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka
(katikati) akikata utepe pamoja na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith
Kapijimpanga (kushoto) na Mwakilishi wa Balozi wa China nchini Tanzania,
wakikata utepe kuashiria kukabidhiwa kwa kwa mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka
Serikali ya China.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka
na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Kapijimpanga, wakielekea kupanda
kwenye treni ya kichwa na mabehewa mapya ya TAZARA.
Moja ya mabehewa mapya.


