Balozi Seif Ali Iddi Amtembelea Raisi Magufuli, Ikulu Jijini Dar es salaam

Raisi wajamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akifulahia jambo na makamu wa pili wa Raisi wa Serikali ya  Map...


Raisi wajamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akifulahia jambo na makamu wa pili wa Raisi wa Serikali ya  Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Idd Aliyefika Ikulu kwa ajiri ya Mazungumzo



Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Makamu wa Pili wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Idd mara baada ya kufanya nae mazungumzo ikulu jijini Dar es salaam

Related

Siasa 2100899729398200092

Post a Comment

emo-but-icon

item