Habari: Kadi za Sikukuu kwa Fedha za Serikali, Zapigwa Marufuku

Balozi Ombeni Sefue  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amepiga marufuku uchapishaji na utengenezaji wa kadi za Christmas na Mwa...

Balozi Ombeni Sefue 
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amepiga marufuku uchapishaji na utengenezaji wa kadi za Christmas na Mwaka Mpya kwa gharama za serikali na fedha zilizopangwa kugharamia utengenezaji wa kadi hizo, ameagiza zitumike katika matumizi mengine ya kipaumbele

Balozi Sefue amesema mtu yoyote anayetaka kuchapisha au kutengeneza kadi hizo afanye hivyo kwa gharama zake mwenyewe na asitumie fedha ya serikali.

Related

Kitaifa 6868076636601593865

Post a Comment

emo-but-icon

item