Manji Ashinda Tuzo ya Viongozi wa Biashara Afrika....Ampiku Bilionea wa Afrika Aliko Dangote na wengine

MWENYEKITI  wa Makampuni ya Quality Group Limited, Yusuph Manji (Pichani) amenyakua tuzo ya kielelezo cha viongozi wa biashara wa Afrik...


MWENYEKITI  wa Makampuni ya Quality Group Limited, Yusuph Manji (Pichani) amenyakua tuzo ya kielelezo cha viongozi wa biashara wa Afrika kwa mwaka 2015.

Manji ambaye ni Mwenyekiti wa Klabu ya soka ya Yanga, aliwapiku wafanyabiashara wengine wakubwa akiwemo bilionea namba moja Afrika,  Aliko Dangote wa Nigeria, pamoja na wengine wengi.

Watanzania wote wanajivunia tuzo hili kwani litawasaidia kupata fursa kubwa za kibiashara ndani na nje ya Tanzania.


Related

Habari Mpya 3464653395698303372

Post a Comment

emo-but-icon

item