Video ya Hotuba Nzima ya Raisi Magufuli Akihutubia Bunge Jana

Rais Dk. John Magufuli akilihutubia bunge mjini Dododma jana wakati akilizindua bunge hilo. Marais Wastaafu, kutoka kushoto ni Al...


Rais Dk. John Magufuli akilihutubia bunge mjini Dododma jana wakati akilizindua bunge hilo.

Marais Wastaafu, kutoka kushoto ni Ally Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na Rais Mstaafu wa Zanzibar,Amani Karume.


Rais wa Zanzibar akiwaangalia wabunge wa upinzani ambao walikuwa wakimzomea muda wote tangu alipoingia kwenye ukumbi wa bunge mjini Dodoma. Kulia ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Iddi

Video ya Hotuba Nzima ya Raisi Magufuli Akihutubia Bunge Jana


Related

Habari Mpya 6026167129798571868

Post a Comment

emo-but-icon

item