Walioshinda Nafasi za Ubunge watakiwa Kuwasilisha Vyeti Vyao

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewataka wabunge  wote wateule kuhakikisha wanapatiwa vyeti vya kuteuliwa  kuwa wabunge  vin...


Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limewataka wabunge  wote wateule kuhakikisha wanapatiwa vyeti vya kuteuliwa  kuwa wabunge  vinavyotolewa na wasimamizi wa uchaguzi ili waweze kusajiliwa baada ya zoezi la kuapishwa kwa Rais mteule Dkt. JOHN MAGUFULI tarehe 5 mwezi huu Jijini DSM.

Akizungumza na waandishi  wa habari jijini DSM Naibu Katibu wa bunge  JOHN JOEL amesema wabunge hao wanatakiwa kuwasili jijini DSM kuanzia Jumatano ijayo ili waweze kushiriki zoezi la kuapishwa Rais mteule.

Hata hivyo JOEL amesema tarehe ya kuanza kwa bunge haijafahamika lakini kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanyika baada ya wabunge hao kusajiliwa.



Related

Habari Mpya 170405217814199476

Post a Comment

emo-but-icon

Hot in week

Recent

Comments

Side Ads

Text Widget

Connect Us

item