EAT AND LIVE HEALTHY::NJIA SABA ZA KUKUSAIDIA KUACHA KUKOROMA (SNORING)

Na wewe ni mmoja wapo wa wanaokoroma wakilala???Asilimia 45% ya watu wazima inasemekana wanakoroma occasionally ,wengine hata mnawatani...


Na wewe ni mmoja wapo wa wanaokoroma wakilala???Asilimia 45% ya watu wazima inasemekana wanakoroma occasionally ,wengine hata mnawatania wenzenu wanaokoroma sio issue.Ila snoring ina BOAA
”Wale wa ndani ya ndoa huwa yaleta vijiproblems maana waweza usiweze kulala kabisa kama mwenzio anakoroma na wengine huwa wana hama hadi vyumba si mchezo .
Sio tu kukoroma kuna boa ila asilimia 75 ya watu wanaokoroma wana kitu kinaitwa obstructive sleep apnea (jina la kitaalamu)hii ni il uhemaji unakuwa disrupted wakati wa kulala na hua ina increase the risk ya kudevelop heart disease.
Kuna wanaoenda hospital kucheki na madaktari ila kuna hizi natural solutions and lifestyle changes ambazo unaweza kutumia ikasaidia ku stop snoring.

1. CHANGE YOUR SLEEP POSITION/BADILI POZI LAKO LA KULALA
Jitahidi kulala kwa ubavu kwasababu kulala kwa mgongo kunafanya the base ya ulimi wako na ile soft palate kuangukia kwenye ukuta wa koo lako which inasababisha kuwe na vibrating sound wakati ukalala hence unakoroma , so kulala kwa ubavu itasaidia.

2. PUNGUZA UZITO /LOSE WEIGHT

Kupunguza uzito kunasaidia ila kuna watu wembamba na wanakoroma ,kama umeongezeka uzito na ukaanza kukoroma na hukua unakoroma kabla ya kuongezeka uzito basi weightlooss itakuasaidi.Kama umeongezeka weight around shingoni hii ina squeeze the internal diaeter ya koo lako inayofanya inaanguka wakati wa kulala na kusababaisha mtu kukoroma.

3. EPUKA UNYAWAJI POMBE/AVOID ALCOHOL.

Alcohol na sedatives/tranquilizer inapunguza ile resting tone ya mishipa nyuma ya koo lako ambapo mwisho wa siku ndo unakoroma.Pia kunywa pombe masaa manne mpaka matano kabla ya kulala kunafanya snoring to be worse.Watu ambao huwa hawakoromi basi wakinywa pombe huwa wengi wao wanakoroma .


4. KUWA NA TABIA YA KULALA UKIWA MSAFI/SEHEMU SAFI/PRACTICE GOOD SLEEP HYGIENE.

Poor sleep habits ina effect sawa na unywaji wa pombe ,kufanya kazi kwa masaa mengi bila kulala basi ukapata chance ya kulala unalala ukiwa umechoka sana.Na unalala very deep inayofanya mishipa kuwa floppier na kukufanya ukorome.


 credit:8020fashionblog

Related

Habari Mpya 4203213303564837807

Post a Comment

emo-but-icon

item