DK Slaa Kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari Leo saa Saba Mchana

Dk slaa Dk Slaa katika moja ya Mkutano wake na waandishi wa Habari Maneno ya mtangazaji msoma habari wa StarTV yanasema >>> ‘Dr Sla...

Dk slaa
Dk Slaa katika moja ya Mkutano wake na waandishi wa Habari
Maneno ya mtangazaji msoma habari wa StarTV yanasema >>> ‘Dr Slaa amekua pembeni katika harakati za kisiasa lakini September 1 2015 atavunja ukimya huo kwa kuzungumza na vyombo vya habari Dar es salaam kuanzia saa saba mchana, mkutano huo utarushwa moja kwa moja

Angalia video hapo chini

Related

Siasa 8221154215273793373

Post a Comment

emo-but-icon

item