Chelsea ya cheza pungufu ikilazimisha sare 2-2 dhidi ya Swansea

Chelsea ilishuhudia mchezaji wake Thibaut Courtois  akitolewa  nje kwa kadi nyekudu baada ya kumchezea faulo Gomis Oscar aliipatia Chelsea g...



Chelsea ilishuhudia mchezaji wake Thibaut Courtois  akitolewa  nje kwa kadi nyekudu baada ya kumchezea faulo Gomis



Oscar aliipatia Chelsea goli la kwanza la Kuongoza  kabla ya Ayew kuisawazishia timu yake
Ayew akiipatia Swansea goli la kwanza la kusawazisha

Federico Fernandez alishinda goli la pili kwa Chelsea baada ya kumgongesha Willians beki wa Swansea
Diego Costa akisikitika baada ya kukosa goli
Hata hivyo Gomis aliisawazishia Swansea goli la pili kupelekea sare ya 2-2
Chelsea ilicheza pungufu kwa Zaidi ya saa moja na nusu lakini Swansea hawakuweza kutumia nafasi hiyo vizuri


Gomisi akiipatia Swansea goli la pili la kusawazisha kwa njia ya penati
HiHata hivyo Swansea imefanikiwa kujichikulia point 1 ya muhimu ambayo katika historia inaonesha mara ya mwisho Swansea kuchukua pointi ikiwa Darajani ni mwaka 1980

JE CHELSEA ITAWEZA KUTETEA UBIGWA WAKE? TOA MAONI YAKO

Related

Michezo 2111527492665990216

Post a Comment

emo-but-icon

item